Wednesday, July 3, 2013

KABBALAH 1: IJUE LUGHA HATARI NA YA KALE ILIYOTUMIKA KUIBADILISHA ULIMWENGU.

 YOTE YANAYOHUSU KABBALAH  1:



ANGALIZO: ELIMU YA KUIFAHAMU KABBALAH NI HATARI HASA ZAIDI KATIKA ULIMWENGU SASA WA KILA MTU KUSHIKA IMANI YAKE YA DHATI KAMA VILE UISLAMU, UKRISTO N.K, KWANI MAFUNDISHO YA  KABBALLAH YANAHIMIZA KUWA  HAKUNA NJIA PEKEE YAKUWEZA KUFIKA ULIMWENGU WA HALI YA JUU WA MAFANIKIO(UPPER WORLD) BILA KUIJUA KABBALAH.NAYO INAITWA NJIA YA KABBALAH(THE PATH OF KABBALAH) AMBAYO PIA NI NJIA YA MAAUMIVU.LENGO LETU SIO WEWE KUIJUA KABBALAH ILA NI KUFAHAMU SIRI ILIYONYUMA YA KABBALAH,NARUDIA TENA NI HATARI.
    "UKIACHIA MBALI KABBALAH MAMBO YOTE NA NJIA ZOTE ZILIWEZA KUENDELEZWA NA BINADAMU.KWA KIPINDI KIREFU SANA UBINADAMU(HUMANITY) UMEJARIBU KUTAFUTA NJIA YA KUPATA UKWELI KUHUSU SUALA ZIMA LA IMANI, WAMEJITAHIDI KUTUMIA NJIA KAMA VILE FALSAFA, NA NJIA NYINGINE TOFAUTI ZINAZOAMBATANA NA IMANI TOFAUTI, LAKINI MWISHOWE UBINADAMU UMESHINDWA KUJUA UKWELI KUHUSU KITU KINACHOITWA IMANI". HAKUNA NJIA YOYOTE ISIPOKUWA SAYANSI YA KABBALAH AMBAYO INASEMA HIVI." Kama unaibadilisha nafsi yako kwa njia fulani, ni dhahiri kabisa utaujua ukweli ipasavyo, na kama utabadilisha nafsi yako kwa njia tofauti basi utaweza kuushawishi ukweli tofauti".kabballah inafungua anga mpya kabla ya ubinadamu huku ikionyesha ni jinsi gani inavyoweza kuathiri ukweli wa mawazo yetu na matamanio yetu pia,na jinsi gani yakuunganisha , na kuyabadilisha hayo mawazo na matamanio. kwa habari zaidi tembelea
http://www.ummah.com/forum/showthread.php?90065-Kabbalah-is-dangerous-Read-this
UTANGULIZI
Kabbalahni muunganiko wa maandishi ya kimiujiza ya kiyahudi (jewish magical text) ambayo hutumiwa kuwaunganisha kati ya binadamu (mankinds) na  mmoja miongoni wa malaika walioshuka na ibilisi( fallen angels) ambaye anaitwa Raziel HaMalaach (The Angel Raziel). raziel anatambulika kama miongoni mwa fallen angels amabao kazi yake ----->



 ni kumtumikia "muwezeshaji wa mwanga (LUCIFER)".ndani ya kabbalah utakuta wanazungumziwa malaika wengi (ANGELS) pamoja na mashetani (DEMONS).kabbalah huwapa kabbalist njia ya kujua mambo mengi kupitia MTI WA MAISHA( TREE OF LIFE).---->


   
 

      TAFSIRI TOFAUTI YA MTI WA MAISHA (TREE OF LIFE )


ambayo huwawezesha kuzungumza na mashetani/majini wa hali ya juu (powerfull sprit)






kupata taarifa tofauti kuhusu hayo miujiza  ndani ya kabbalah asili yake ni kile kipindi cha babeli (babylon) na wamisri wa kale(ANCIENT EGYPT) wakati wa farao.kopi ya kabbalah haikuweza kufika uingereza( EUROPE) hadi kufikia karne ya 11 na ya 12. kitabu hichi cha siri cha kabbalah kinajumuisha maneno zaidi ya alfu ya moja ambayo hujumuisha complex spherical description, atomic nature of matter


i, ambayo hizo zikawepelekea miongoni mwa wanasayansi  kama vile EINSTEN, na wanajimu tofauti kufahamu nature ya ATOM, kitu cha kufahamu  ni kuwa kabbalah imeandikwa katika mfumo wa kuficha maana halisi ya neno (CODES). mfumo CODES ulitumika na Alchemist hasa zaidi katika mawasiliano ya siri.SIR ISAAC NEWTON pamoja na wanasayansi wengine waliweza kuisoma hiyo sayansi katika kabballah amabyo ipo katika mfumo wa codes--->


                             SIR ISAAC NEWTON

  mwanasayansi wa kiyahudi ALBERT EINSTEN
 
 
                                 ALBERT EINSTEIN
aliweza kufanikiwa kupitia kurasa hadi kurasa ambazo zinahusu complex calculation na mwishowe akafanikiwa kupata simplest code ambayo ni



- siri kubwa iliyokuwepo ndani ya kabbalah ni ule uwezo wa kuua mtu kwa kumtazama tu.ambayo huitwa the :"THE EVIL EYE"


                     THE EVIL EYE
ambayo jinalake la kimazingara linaitwa "ENHARA" . mpaka hivi sasa kabballah still people practice hasa zaidi katika lugha yake asili, kwa waliofanikiwa kutazama muvi kama vile vampire diaries, secretcircle,legend of the seeker,merlin,n.k utakuta wapo vijana wanaotambulika as  a witch kwa kufanya mazingaombwe huku wakinena na lugha ya kabballah.
TOLEO LIJALO TUTAONA
. NI NINI HASA KABBALAH?
.NI NANI KABBALIST?
.NA NINANI ANAYEPASWA KUIJUA KABBALAH?