Thursday, July 2, 2015

Photos: Iphone case that looks like a hand gun now being sold

Black men in the US better stay away from this phone case...police can mistake it for a gun. If they are being shot unarmed, imagine if a police officer saw this. The controversial new phone case which is shaped like a handgun is now being sold on Amazon for $10 and critics are calling it a 'deathtrap'. In fact, NYPD is begging people not to buy the case to avoid issues with police ...

Retired New Jersey state trooper and firearms instructor Al Della Fave told CNN Money:
“Most kids carry their cellphone in their back pocket and if someone reaches for it, in my mind they're reaching for a gun. The first thing they're going to see as it's coming up is the trigger guard and the butt of the gun. This doesn't seem like a good idea at all to me.”

Pregnant men are now demanding equal rights as pregnant women

What's currently trending on social media are men asking for equal pregnancy rights as women using the  #transpregnancy #Pregnancyforall.

These 'men' displayed photos of their pregnant selves on social media. They are demanding equal rights just like real pregnant women. Just in case you're wondering, these are men that used to be women. Check out some of the reactions to this trend. More photos after the cut..


Friday, May 29, 2015

Jessica Alba graces cover of Forbes as her business is valued at $1b

Actress and business woman, Jessica Alba graced the cover of Forbes magazine in its issue titled America's Richest Self-Made Women as her business 'The Honest Company' was valued at $1 billion and her personal fortune reaches $200 million.

Jessica started The Honest Company in 2008 when she was engaged to her now Husband Cash Warren and expecting their first child. Her mom advised her to wash the baby clothes she received as gifts for her baby shower with a detergent which she didn't know she was allergic to. She broke out when she used the detergent and decided to create a brand of detergent that was eco-friendly and non Toxic.

Jessica Alba graces cover of Forbes as her business is valued at $1b

Actress and business woman, Jessica Alba graced the cover of Forbes magazine in its issue titled America's Richest Self-Made Women as her business 'The Honest Company' was valued at $1 billion and her personal fortune reaches $200 million.

Jessica started The Honest Company in 2008 when she was engaged to her now Husband Cash Warren and expecting their first child. Her mom advised her to wash the baby clothes she received as gifts for her baby shower with a detergent which she didn't know she was allergic to. She broke out when she used the detergent and decided to create a brand of detergent that was eco-friendly and non Toxic.

Nigeria's new First Lady with her daughters (photo)


New First lady Mrs Buhari with her daughters and step daughters. Beautiful ladies.

Thursday, November 20, 2014

OFFICIAL VIDEO: DIAMOND PLATNUMZ - NITAMPATA WAPI

d2Alhamisi ya Nov 20 Diamond Platnumz  ameibariki siku hii kwa kuachia video na audio ya wimbo wake mpya unaoitwa Nitampata wapi,kwenye radio station,tv na kwenye mitandao.
Video hii ambayo kwa mara ya kwanza ilianza kuonyeshwa Nov 19 kupitia kituo cha MTV BASE,kama hukufanikiwa kuiona unaweza kuiona kwa kubonyeza play hapo chioni.

Monday, October 6, 2014

USHAHIDI HUU HAPA:NYIMBO YA MWANA YA ALIKIBA NI DONGO KWA DIAMOND////

BONGOCLAN.CO.TZ DIAMOND

HUU HAPA UTHIBITISHO.
Mali ni nyingi nyumbani, kipi kimekukimbiza,
Hapa Alikiba, anamwambia Diamond, nyumbani ( SHAROBARO RECORDS) kuna kila kitu, beats kali, management nzuri and all that, kitu gani kilimkimbiza SHAROBARO RECORDS?

Ona babio mamio wote wanakulilia,

HAPA ALIKIBA ANAMAANISHA, SHAROBARO RECORDS, WAKIONGOZWA NA BOB JUNIOR, WOTE WANAMLALAMIKIA DIAMOND KWA KITENDO CHAKE CHA KUKIMBIA KUFANYA KAZI SHAROBARO. (BOB JUNIOR ALIPIGA KELELE SANA DIAMOND ALIPOKIMBIA SHAROBARO RECORDS )

Mtoto pekee ako nyumbani, kipi kimekukimbiza,
HAPA ALIKIBA ANASEMA, DIAMOND ALIKUWA NDO ARTIST PEKEE MKALI ALIYEKUWA CHINI YA SHAROBARO RECORDS. HAKUKUWA NA UPINZANI WOWOTE NDANI YA SHAROBARO, KITU GANI KILIMFANYA AONDOKE ?

Ona babio mamio wote wanakulilia
 
Ndani ya Dar es salame ulikuja bure
HAPA ALIKIBA ANAMKUMBUSHA DIAMOND, KUWA SIKU ALIPOKWENDA SHAROBARO RECORDS KWA MARA YA KWANZA, HAKUWA NA HATA SENTI TANO NA ALIREKODIWA WIMBO WAKE BURE KABISA.NENO DAR ES SALAME, LIMETUMIKA KUMAANISHA SHAROBARO RECORDS AU MUSIC INDUSTRY.
(KAMA ULIKUKUWA HUJUI, ALIKIBA NI MMOJA KATI YA WANAHISA WA SHAROBARO RECORDS, NA NDIO ALITOA IDHINI KWA BOB JUNIOR, AREKODI BURE WIMBO WA DIAMOND. ILIKUWA HIVI DIAMOND ALIENDA KWA BOB JUNIOR NA KUMWAMBIA ANA WIMBO WAKE ANAOMBA UREKODIWE LAKINI HANA UWEZO WA KIFEDHA, BOB JUNIOR AKAOMBA KUMSIKILIZA, ALIPOMSIKILIZA AKAGUNDUA KIPAJI CHA DOGO, BUT HAKUWA NA MAMLAKA YA KUREKODI WIMBO HUO BURE BILA IDHINI YA BOSS, ALIKIBA, SO IKABIDI AENDE KWANZA KUOMBA IDHINI KWA ALIKIBA, ALIKIBA AKAMWAMBIA BOB JUNIOR KAMA DOGO ANAJUA KUIMBA VIZURI, MREKODIE TU, HAKUNA SHIDA. ALIKIBA ALIYASEMA HAYA AKIWA ANAYAFANYA MAHOJIANO KWENYE KIPINDI CHA MKASI HIVI KARIBUNI.
kiba

Tena kimwana, kimwana hujui kuchuna
 
WAKATI DIAMOND, ANAENDA KUOMBA KUREKODI KWA BOB JUNIOR, ALIKUWA TAYARI KUFANYA SHOW ZAKE HATA BURE ILIMRADI TU AWEZE KUJITANGAZA..DIAMOND ALIWAHI KUMUOMBA ALIKIBA, APANDE NAYE KWENYE SHOW YA ALIKIBA, BILA MALIPO YOYOTE ILI WATU WAMUONE AKIWA NA ALI KIBA. SO ALIKIBA AMETUMIA NENO “KIMWANA ASIYE JUA KUCHUNA” AKIMAANISHA ‘MSANII UNDERGROUND ALIYE TAYARI KUIMBA HATA BILA MALIPO.

Na zile lawama za wale walokuzoeza,
HAPA ALIKIBA ANAZUNGUMZIA LAWAMA ZA MADEMU WANAO TOSWA NA DIAMOND



Ulikuja jana na leo tofauti sana.
HAPA ALIKIBA ANAZUNGUMZIA NAMNA AMBAVYO DIAMOND AMEBADILIKA KITABIA BAADA YA KUPATA MAFANIKIO KIMUZIKI.

Tena bora Yule wa jana, wa leo tofauti sana,
HAPA ALIKIBA ANAWAZUNGUMZIA WEMA SEPETU NA PENNY, ANASEMA BORA HATA PENNY KULIKO WEMA AMBAYE NDIO YUPO NA DIAMOND KWA SASA

Dakika mbili mbele nyuma, kichwa kinauma
HAPA ALIKIBA ANAZUNGUMZIA TABIA TABIA ZA WEMA SEPETU. MKOROFI(DAKIKA MBILI MBELE NYUMA), NA MWINGI WA HABARI, AMA PASUA KICHWA ( KICHWA KINAUMA) AMA KICHECHE.

Tena bora Yule wa jana, wa jana leo wa jana,
HAPA ALIKIBA ANASISITIZA ANACHO KIMAANISHA, KWAMBA ANAMZUNGUMZIA WEMA, ” tena bora yule wa jana, wa jana leo wa jana ” YANI YULE AMBAYE UPO NAE LEO, NA AMBAYE ULIWAHI KUWA NAE ZAMANI. NI WA JANA, UPO NAE LEO, LAKINI ULIWAHI KUWA NAYE JANA. HUYO NI WEMA SEPETU, ALIWAHI KUWA NA DIAMOND, WAKAACHANA, WAMERUDIANA TENA. ( ‘WAJANA LEO WA JANA = WEMA SEPETU )

Dakika mbili mbele nyuma, kichwa kinauma
HAPA ALIKIBA ANAKUTOLEA UFAFANUZI ZAIDI KWAMBA, HUYU ” WA JANA LEO WA JANA” SI MWINGINE ILA NI WEMA SEPETU. ANAFANYA HIVYO KWA KUELEZEA TABIA YA WEMA SEPETU AMBAZO NI “UKOROFI” (DAKIKA MBILI MBELE NYUMA ), NA UKICHECHE A.K.A PASUA KICHWA (KICHWA KINAUMA)..KAMA UMESAHAU WEMA SEPETU ALIWAHI KUMTUKANA BOB JUNIOR MATUSI YA NGUONI, KESI IKAENDA MAHAKAMANI..UNAKUMBUKA HIYO?

Oyayee , mbona unawatesa sana,
HAPA ALIKIBA ANAMWAMBIA DIAMOND MBONA UNAWATESA SANA HAO WASICHANA UNAO WABADILISHA BADILISHA ?

Omamee, omame oya mame, omame oya mamee
Mbona unajitesa sana
 
HAPA ALIKIBA ANAMWAMBIA DIAMOND “WHAT GOES AROUND COMES AROUND”. ANAVYO WATESA HAO WSICHANA, NI SAWA NA KUJITESA MWENYEWE TU. UKICHECHE WA DIAMOND UNAMTESA KIASI CHA KUMFANYA ASHINDWE KUJUA AMPENDE NANI KATIKA MAISHA YAKE, KWA SABABU WANAWAKE KARIBU WOTE ANAO TOKA WANAKUWA NA KASORO ZISIZO VUMILIKA.
Omamee, oya mame, omame oya mamee
Ukaanza kulewa
 , madawa kuvuta kwa sana.

HAPA ALIKIBA ANATHIBITISHA NAMNA AMBAVYO HALI YA KUWATESA WANAWAKE INAMRUDIA DIAMOND MWENYEWE. BAADA YA KUUMIZWA NA MWANAMKE/WANAWAKE, DIAMOND AKAONA HAKUNA NJIA NYINGINE YA KUPAMBANA NA MAUMIVU YA KUUMIZWA NA MWANAMKE, ZAIDI YA KULEWA. DIAMOND ALITOA WIMBO, ” NATAKA KULEWA” AMBAO ULIKUWA BASED ON TRUE STORY.
Ndani ya Dar Es salaam, mambo matamu hayakukwisha hamu
HAPA ALIKIBA ANAELEZEA NAMNA AMBAVYO DIAMOND HAJAISHIWA NA HAMU YA KUTEMBEA NA WANAWAKE AMBAO ANAWAPATA BAADA YA YEYE KUWA MAARUFU KUPITIA MUZIKI.
We bado mtoto wa mama hujayajua mengi
HAPA ALIKIBA ANAUA NDEGE WAWILI KWA JIWE MOJA., KWANZA ANATOA UFAFANUZI WA MTU ANAYE MZUNGUMZIA. ALIKIBA ANATAKA UJUE KUWA ANAMZUNGUMZIA DIAMOND NA SIO MTU MWINGINE YOYOTE YULE, SO ANAELEZEA JAMBO LINALO ASHIRIA MTU ANAYE MZUNGUMZIA HAPA ” we bado mtoto wa mama “ DIAMOND NI MTOTO WA MAMA, YUPO KARIBU ZAIDI NA MAMA YAKE NA HANA MAWASILIANO MAZURI NA BABA YAKE. ( UKISIKILIZA VIBAYA HAPO UNAWEZA KUDHANI ALIKIBA ANA MAANISHA “MTOTO KWA MAMA”, BUT KIUKWELI ANAMAANISHA “MTOTO WA MAMA” )
NA ANAPOSEMA HUJAYAJUA MENGI, ANAELEZEA MTAZAMO WAKE KUHUSU UPEO WA DIAMOND, KUHUSU MAISHA YA MWANADAMU. ALIKIBA ANA AMINI KUWA DIAMOND BADO HAJAJUA MENGI KUHUSU MAISHA, NDIO MAANA ALIWADHARAU SHAROBARO RECORDS WALIO MTOA PAMOJA NA BABA YAKE MZAZI.

Mwenda tezi na omo marejeo ngamani
HAPA ALIKIBA ANAMKUBUSHA DIAMOND ASISAHAU ALIPOTOKA.

Amesema sana mama, dunia tambala bovu

Kuna asali na shubiri ujana giza na nuru
 
HAPA ALIKIBA ANAMSHAURI DIAMOND, ASICHEZE NA UJANA WAKE NA AKUMBUKE KUWA KUNA WAKATI WA KILA JAMBO, LEO YUPO JUU KIMUZIKI NA KIMAISHA LAKINI KESHO ATAKUWA CHINI. SO AKUMBUKE ALIPOTOKA, ASIJISAHAU.
We mwana wewe mwana, mbona jeuri sana
 
HAPA ALIKIBA ANA ELEZEA NAMNA AMBAVYO DIAMOND AMEKUWA JEURI BAADA YA KUPATA MAFANIKIO YA KIFEDHA NA KIMUZIKI.
Ulichokifata hukupata , umekosa ulivyo achaa

Kwa baba yako mwana, na mama yako mwana
 
Kwa vicheche ulivyo vitaka , ni vingi ulivyo achaa,
 HAPA ALIKIBA ANAMWAMBIA DIAMOND ” UMEKIMBIA SHAROBARO RECORDS NA KWENDA KWINGINEKO ILI UPATE UPATE MAFANIKIO ZAIDI YA KIMUZIKI NA HATIMAYE UPATE FURSA YA KUN’GOA MADEMU, LAKINI UMEISHIA KUPATA VICHECHE TU KAMA AKINA WEMA SEPETU NA JOKATE. WAKATI VICHECHE KAMA HAO ULIKUWA NA NAFASI YA KUWAPATA HATA KAMA UNGEBAKI SHAROBARO RECORDS. MATOKEO YAKE SASA, WALE MADEMU AMBAO ULIKUWA UNAWATAKA WAKATI UPO SHAROBARO RECORDS ( AMBAO WALIKUWA NA AFFILIATION NA SHAROBARO RECORDS) UMEWAKOSA NA MADEMU AMBAO ULITARAJIA UNGEWAPATA UKIWA NJE YA SHAROBARO RECORDS HUJAWEZA KUWAPATA. 
Oyayee, mbona unajitesa sana

Mbona unawatesa sana
 
( IMESHAELEZEWA JUU )

UNALETA LAWAMA, UNALETA LAWAMA X 2
 
Uchungu wa mwana aujuaye mzazi.
 
Uchungu wa mwana aujuaye mzazi, siku zote leilee
 
Analiaa oooh oooh oooh oooh
 
Kutwa nzima analalamika
 
Obaba baba na mama yako yako, oooh mwana rudi eeeh
 
Watafurahi wakikuona umerejea salama.
 
HAPA ALIKIBA AMEFANYA KAMA KUPOTEZA MABOYA VILE ILI ASIONEKANE KAMA ANAMPIGA MADONGO DIAMOND MOJA KWA MOJA.

Friday, October 3, 2014

SHEREHE YA BETHIDEI YA DIAMOND PLATINUMZ GOLDEN JUBILEE, DAR

Msanii wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platinumz’ akiwa na mpenzi wake, Wema Sepetu ‘Beautiful Onyinye’ ndani ya Golden Jubilee usiku wa kuamkia leo.
Wema Sepetu ‘Beautiful Onyinye’ akifanya yake.
Wema Sepetu akimuweka sawa mpenzi wake.
Wema (kulia) akiwasha mishumaa kabla ya Diamond Platinumz kukata keki.
Ni sheeedah! Diamond Platinumz na Wema Sepetu wakilishana keki.
Gari aina ya BMW X6 aliyozawadiwa na uongozi wake kwenye sherehe ya bethidei yake iliyofanyika ukumbi wa Golden Jubilee usiku wa kuamkia leo.
STAA wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul 'Diamond Platnumz' alizaliwa Octoba 2, 1989. Sherehe ya bethidei yake ilifanyika ukumbi wa Golden Jubilee usiku wa kuamkia leo na kuhudhuriwa na mastaa miongoni mwao ni T.I.D, Chidi Benz, Profesa Jay, B12, Elizabeth michael 'Lulu', Ommy Dimpoz na wengine

Thursday, October 2, 2014

MBUNGE WA CCM MH. VICKY KAMATA ATIWA MBARONI KWA KUWATUKANA WABUNGE WENZAKE!

MBUNGE wa Viti Maalumu, Vicky Kamatta (CCM), amekamtwa na Polisi Mkoa wa Dodoma kwa tuhuma za kuwatumia ujumbe mfupi wa simu za matusi wabunge wenzake.Chanzo cha kuaminika kutoka mjini Dodoma kiliambia MTANZANIA kuwa kwa kipindi cha miezi kadhaa Vicky amekuwa akituma sms za matusi kwa wabunge wenzake wa viti maalumu kupitia CCM, Catherine Magige na Lucy Mayenga ambaye pia ni Mkuu wa Wilaya ya Uyui.
Taarifa zaidi zinasema kuwa wabunge hao walikuwa wakitumiwa sms za matusi kwa namba 0653 762 *** ambapo baada ya kuona hali imekuwa ikizidi waliamua kwenda kufungua jalada la malalamiko katika Kituo Kikuu cha Kati mjini Dodoma na kuomba ufanyike uchunguzi ili waweze kumbaini mwenye namba hizo.
 Kutokana na maelezo hayo, Jeshi la Polisi lilianza kufanya uchunguzi kuhusu sakata hilo na kubaini namba hiyo imesajiliwa kwa jina la mdogo wa kiume wa Vicky.
 
Baada ya Jeshi la Polisi kufuatilia, ilibainika namba hiyo ilikuwa ya mbunge huyo ingawa hakuisajili kwa jina lake.

Uchunguzi zaidi ukabaini kuwa sms za matusi alizokuwa anatuma, pia alikuwa akitoa taarifa kwa mwenye namba 0767 500***, akimweleza namna anavyopambana na wabunge wenzake kwa kuwatukana.
Habari zinapasha kuwa polisi wamekuwa wakifuatilia suala hilo kwa muda licha ya kuwa mara nyingi namba hiyo huwa imezimwa.
Taarifa hizo zinaeleza kuwa Septemba 28, mwaka huu polisi waliokuwa wanachunguza suala hilo walifanikiwa kuipiga namba hiyo na kupokewa.
 
Chanzo cha habari kinaeleza kuwa baada ya namba hiyo kupokewa aliyepokea aliulizwa ni wapi alipo na kama inawezekana afike kwenye viwanja vya Bunge kuchukua mzigo wake.

“Aliambiwa hivyo kwa sababu SMS ya kwanza inasemekana kuwa ilitumwa na mtu aliyekuwa kwenye viwanja vya Bunge, na yule kijana aliyepokea simu bila kujua aliwaelekeza polisi nyumbani kwao akisema ndipo alipo mwenye simu.

“Polisi walipofika huko walimtaka kijana aliyekuwa nyumbani apige ile namba na akapokea yule kijana aliyewaelekeza polisi,” alisema.

Wakiwa wanafanya uchunguzi askari polisi waliipiga simu 0767 500*** ambapo ilipokewa na kigogo mmoja wa ngazi za juu serikalini ambaye baada ya mahojiano alitakiwa afike kituo cha polisi kwa mahojiano zaidi.

Kigogo huyo baada ya maelezo alimtaka askari anayefanya upepelezi wa kesi hiyo kuwa mvumilivu kwani muda ambao alikuwa akihitajika kituoni isingiwezekana kutokana na kuwa anapiga kura bungeni kuhusu Katiba Mpya.

Chanzo hicho kilisema pamoja na majibu hayo, mpelelezi huyo aliingiwa na hofu baada ya kutajiwa jina la kigogo huyo wa ngazi za juu serikalini.

CATHERINE MAGIGE
MTANZANIA ilipomtafuta mbunge wa Viti Maalumu, Catherine Magige (CCM), alikiri kupokea matusi na kufungua kesi katika Kituo Kikuu cha Polisi Kati mjini Dodoma.

Alisema Septemba 2, mwaka huu alipokea matusi kupitia ujumbe mfupi wa simu ya mkononi hali iliyomshitua na kuamua kuizima ili isitumiwe tena kumpigia wala kutuma sms.

Alisema kuwa baada ya kuzungumza na baadhi ya watu walimshauri kufungua kesi polisi ili uchunguzi ufanyike na anayetuma matusi hayo akamatwe.

Alieleza kuwa Septemba 3, mwaka huu alikwenda Kituo Kikuu cha Polisi Kati Dodoma na kufungua jalada la kesi dhidi ya mtu huyo aliyekuwa akimtukana kwa sms.

“Nilipokuwa pale polisi sasa ndiyo nikaifungulia ile namba na kumbe kuna sms nyingine zilikuwa zimeshatumwa zikawa zinaingia kwa fujo.

“Ukijaribu kuangalia unaona sms ya kwanza ilitumwa na mtu akiwa kwenye eneo la viwanja vya Bunge, nyingine Naam Hotel na nyingine maeneo ya Uwanja wa Ndege hapa hapa Dodoma,” alisema Magige.

Alisema kuwa tangu hapo polisi waliendelea na uchunguzi wa suala hilo na jana alipata taarifa kuwa washukiwa wao wamekamatwa.

“Hii simu inaonekana kazi yake kubwa ilikuwa ni kututukana sisi na wakati mwingine kuongea na kutuma sms kwa (jina tunalihifadhi), kwa mfano usiku wa Septemba 28 inaonekana kwamba simu hiyo iliongea kwa sekunde zaidi ya 1,300 (dakika 21.6), na sijui walikuwa wanaongea nini.

“Kwa kweli mimi hata sielewi tumefika wapi kama viongozi tunaweza kuwa tunatumia simu kutukanana hivi,” alisema.

LUCY MAYENGA
Kwa upande wake Lucy Mayenga, alipoulizwa juu ya suala hilo, alisema amekuwa akitukanwa kwa njia mbalimbali za mtandao kwa takribani miezi minne sasa.

Alisema kuwa baadhi ya matusi yalipitishwa kwa watu wake wa karibu jambo ambalo lilimfanya aumie, lakini asijue cha kufanya.

Alisema kuwa Septemba mbili alivyoanzwa kutukanwa Magige, baadhi ya sms zilizokuwa na matusi zilimtaja pia Catherine.

“Sasa tukaongea na Lucy mimi wakati huo sikuwa Dodoma na tukashauriana pia na watu wengine ndipo alipoamua kufungua kesi.

“Nilivyokuwa natukanwa mimi nilikuwa sina muda wa kufuatilia na niliona ni kama nitu kitapita tu ndiyo maana sikufuatilia, sasa ilivyohamia kwa Catherine na huko nikawa natajwa na mimi pia, nikaona hapa sasa imefika mbali,” alisema.

KAULI YA VICKY
Akizungumza tuhuma hizo, Vicky alisema anashangazwa na taarifa za kukamatwa kwake kwani muda wote yeye alikuwa nyumbani kwake na hakuna jambo kama hilo.

“Mimi silijui suala hilo… Sijakamatwa na muda huu nipo hapa nyumbani kwangu na sasa ninajiandaa ili nirudi tena katika vikao vya Bunge,” alijibu kwa kifupi Vicky.

JESHI LA POLISI
Akizungumza sakata hilo, Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma, David Misime, awali alisita kidogo na baadaye alisema hakuna taarifa zozote katika mkoa wake za kukamatwa kwa mbunge huyo huku akitaka kujua taarifa hizo zimetoka wapi.


“Nani kakwambia masuala hayo… hakuna taarifa kama hizo, hatujamkamata mbunge yeyote usiku huo wa jana,” alisema Kamanda Misime

KAJALA AAMUA KUJIBU MAPIGO MATUSI YAMPONZA MAMA WEMA SEPETU



 Habari ya mjini kwa sasa ni bethidei ya Miss Tanzania 2006, Wema Sepetu kutimiza miaka 26 tangu kuzaliwa, lakini ndani ya tukio hilo, mengine yameibuka! 
Staa katika tasnia ya filamu Bongo, Kajala Masanja. Miongoni mwa yaliyoibuka kwenye sherehe hiyo iliyofanyika Jumapili iliyopita nyumbani kwa Wema, Mtaa wa Bwawani, Kijitonyama jijini Dar es Salaam ni madai ya mama Wema, Mariam Sepetu kudaiwa kupewa nafasi ya kutoa ‘neno la hekima’ lakini akaitumia kumvurumishia mitusi aliyekuwa shosti wa Wema, Kajala Masanja. 
Baada ya sherehe hiyo, Jumatatu na Jumanne, mitandao mingi ya kijamii ilitumbukiza video yenye sauti ikimuonesha mama Wema akimrushia matusi Kajala kwa kile kilichodaiwa kuwa ni kutokana na kukorofishana kwa mwanaye na Kajala aliyewahi kumfadhili mahakamani kwa kumlipia faini ya shilingi milioni 13 asiende jela kwa kesi ya kuuza nyumba iliyokuwa na zuio la kisheria.


Wema Sepetu akiwa na mama yake. KAJALA AAMUA ZITO
Katika kufuatilia sakata hilo, Amani lilinyetishiwa kwamba Kajala baada ya kushindwa kuvumilia, ameamua kumshitaki mahakamani mama Wema. Chanzo chetu kinadai kuwa Kajala alifikia uamuzi huo baada ya kushauriwa na familia sanjari na wafuasi wake (Timu Kajala) ambapo sasa, timu hiyo na Timu Wema wameingia vitani tena.BOFYA KUSOMA ZAIDI>>
“Kajala ameshawasiliana na wanasheria wawili na kutoa maelezo yake, wao wanaandaa faili ili mashitaka yafike mahakamani, amekasirika sana.“Amesema mama Wema ametumia nafasi ya kukutana na watu kumdhalilisha bila kumpa nafasi ya kujitetea, ameona si sawa hata kidogo,” kilisema chanzo hicho ambacho ni jirani na Kajala.


Wema Sepetu akiwa na Kajala Masanja. MATUSI YENYEWE
Katika sauti, mama Wema anasikika akitamka matusi (hayaandikiki gazetini) huku Wema naye anasikika akimsihi mama yake asimtaje jina Kajala kwa kuwa kufanya hivyo ni kumpaisha. Hapa inamaanisha kwamba, Wema alitaka mama yake afunguke lakini bila kutamka jina la mtu. 

AGUNDUA TIMU KAJALA IMO NDANI YA BETHIDEI
Katika hatua nyingine, mama Wema alisema kauli iliyoashiria kwamba Timu Kajala ilikuwemo ndani ya bethidei ya mwanaye. “Nasema haya huku najua humu ndani kuna Timu Kajala, lakini nasema….(matusi mazito)” 

KAJALA SASA
Baada ya madai hayo yote, juzi, Amani lilimsaka Kajala kwa njia ya simu ili kumuuliza ukweli wa madai hayo. Licha ya kutopokea simu ya paparazi wetu, alitumiwa ujumbe mfupi wa maneno ‘SMS’ na kuulizwa kila kitu. 

Hata hivyo, badala ya kujibu alikaa kimya, baada ya dakika kama kumi na tano alimrushia kwa simu mwandishi wetu video hiyo ambayo anadai kutukanwa na mama Wema bila kusema chochote hali iliyotafsiriwa kuwa kama alisema; ‘hebu oneni wenyewe jamani, nimemkosea nini mama Wema?’


Mama yake Wema Sepetu. ALICHOKIFANYA MARTIN KADINDA
Katika hatua nyingine siku hiyo, meneja wa Wema, Martin Kadinda alikuwa na kazi ya ziada kuhakikisha, mama Wema na mama Diamond, Sanura Kasim ‘Sandra’ hawakai jirani au meza moja licha ya kwamba watoto wao wamependana.
“Kadinda ana kazi ngumu sana, unajua anatakiwa kuhakikisha kwamba mama Wema na mama Diamond hawakai meza moja. Sijui anaogopa nini, kwani hawa si watu ambao watoto wao wana mpango wa kuoana?” alihoji mwalikwa mmoja. 

KUMBUKUMBU MUHIMU

Katika bethidei hiyo, Wema alizawadiwa magari mawili, Nissan Murano lenye thamani ya shilingi milioni 36 alilopewa na Diamond na BMW 545i lenye thamani ya shilingi milioni 56, inadaiwa alizawadiwa na Kadinda

Monday, September 29, 2014

Building collapse: Lagos state govt may prosecute T.B Joshua

It looks like Synagogue leader T.B Joshua will be prosecuted by the Lagos State Government over the collapse of his building on September 12th that left more than 115 people dead.

According to Punch, the state government has set up a coroner of inquest for the purpose of investigating the cause of the building collapse. This was made known in a statement credited to the Lagos State Attorney General and Commissioner for Justice, Mr. Ade Ipaye, on Sunday.

According to the statement, Ipaye had instigated the coroner’s inquest pursuant to Section 15 of the Lagos State Coroner’s System Law No. 7 of 2007.
The coroner of inquest, headed by Magistrate O. A. Komolafe, has been charged with the duty of establishing the cause of the collapse of Synagogue’s six-storey building that killed no fewer than 115 persons.
Ipaye, who spelt out the responsibility of the coroner, said its final submission might necessitate the institution of a criminal charge against the church.
The commissioner was quoted to have said, “The law requires the verdict of a coroner, as certified in writing, to be forwarded to the State Attorney General and such verdict may form the basis of criminal prosecution depending on the evidence collected.
“The coroner in this case is Magistrate O. A. Komolafe, who also sat as coroner in the Dana Air Crash case. He is expected to announce his sitting or visitation schedules and other details and to hold the inquest at the premises of the High Court of Lagos State, Oba Akinjobi Way, Ikeja.
“In doing this, he (Komolafe) has all the powers of a magistrate to summon and compel the attendance of witnesses, including medical examiners, and require them to give evidence, produce documents or present other relevant materials.”

BREAKING NEWS:MSANII WA BONGO FLEVA SIDE MNYAMWEZI AFARIKI DUNIA....

Muimbaji wa muziki wa Bongo Fleva Said Salim 'Side Boy Mnyamwezi' enzi za uhai wake.
Muimbaji wa muziki wa Bongo Fleva, Said Salim aliyekuwa akitumia jina la kisanii la Side Boy Mnyamwezi amefariki dunia. Side Boy amefariki leo katika Hospitali ya Nyangao iliyopo mkoani Lindi. Aliwahi kutoa nyimbo kadhaa zikiwemo ‘Hujafa Hujaumbika’, ‘Usidharau Usiyemjua’ na ‘Kua Uyaone.’


Tuesday, September 23, 2014

SIKILIZA NGOMA KALI MPYA:Bibo feat Madee - Wanaona Gere

 

Woman gets third boobs implant to scare men away (photos)

21 year old American Jasmine Tridevil, claimed she had plastic surgery to create a third breast to scare men away. And now she wants her own MTV reality show.

The woman who is based in Tampa Florida, shares pictures on her Facebook page to 'show the struggles she faces because of her surgery.' She said her main reason for getting a third breast was because she didn't want to appear attractive to men.
"I got the surgery because I wanted to turn off guys. I know it sounds crazy but I don’t want to date again ever. I still like to feel pretty. If I got a third breast implant most guys would think that’s weird and gross. But I can still feel pretty. I’m starting a reality show called Jasmine’s Jugs and my ultimate goal is to get it onto MTV. That’s my dream.”she wrote on FB
Jasmine claims she's spent $20,000 on the procedure a few months ago, after struggling to find a doctor who would perform the operation. 
“I called 50 doctors. It was really hard finding someone that would do it too because they’re breaking the code of ethics.” she said
She claims her third breast was made using an implant and skin tissue cut from her abdomen. She said her parents didn't react well when they found out
“My mum ran out the door. She won’t talk to me. She won’t let my sister talk to me. My dad, he really isn’t happy. He is kind of ashamed of me but he accepted it.

NIMEMJUA MWANAMKE ANAETEMBEA NA MUME WANGU,, NIMEUMIA SANAAA, NAOMBENI USHAURI WENU



Habari MPEPETAJI,
Naombeni msaada wa maawazo yenu, nimegundua kuna mwanamke anatembea na mume wangu, mume wangu alikataaaaaa kwa mara ya kwanza, lakini baada ya kufatilllia na kuchunguza kwa muda mrefu nikaja kuhakikisha ni kweli kabisa, mwanamke anaomba msamaha kwamba wataachana na hatorudia tenaa, na mume wangu pia anasema hatorudiaa,

Nimeumia sana mwenzenu, nimeumia kupita kias, kwakuwa nilimpenda, nilimheshimu, nilimjali sana mume wangu, nilikuwa teyari kumuachia yeye kila kilicho changu, nilimsikiliza sana, sikutegemea kama atakuja kunitenda hivi, imekia kipindi najuta kwanini niliolewa nay eye,  sikutegemea kabisa kutokana na muonekano alio nao,,, details zoote za huyo mwanamke wake niko nazo, niliomba niprintiwe kupitia mitandao ya simu wanayotumia, niko nazo mkononi, staki kuamini, ninalia kama mtoto mdogo, ni bora niibiwe pesa nitatafuta, kuliko kuibiwa penzi,, nitalipata wapi,,

Nimechanganyikiwa, nataka kuondoka kwenda kwetu nikapumzike, nimwache kwanza, maana kila nikimuona Napata hasira natamani kumkaba kabisa, nimemchukia mno,,, sina amani ya kuwa nay eye, hali hii hadi lini?? Nifanyaje?