Friday, October 3, 2014

SHEREHE YA BETHIDEI YA DIAMOND PLATINUMZ GOLDEN JUBILEE, DAR

Msanii wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platinumz’ akiwa na mpenzi wake, Wema Sepetu ‘Beautiful Onyinye’ ndani ya Golden Jubilee usiku wa kuamkia leo.
Wema Sepetu ‘Beautiful Onyinye’ akifanya yake.
Wema Sepetu akimuweka sawa mpenzi wake.
Wema (kulia) akiwasha mishumaa kabla ya Diamond Platinumz kukata keki.
Ni sheeedah! Diamond Platinumz na Wema Sepetu wakilishana keki.
Gari aina ya BMW X6 aliyozawadiwa na uongozi wake kwenye sherehe ya bethidei yake iliyofanyika ukumbi wa Golden Jubilee usiku wa kuamkia leo.
STAA wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul 'Diamond Platnumz' alizaliwa Octoba 2, 1989. Sherehe ya bethidei yake ilifanyika ukumbi wa Golden Jubilee usiku wa kuamkia leo na kuhudhuriwa na mastaa miongoni mwao ni T.I.D, Chidi Benz, Profesa Jay, B12, Elizabeth michael 'Lulu', Ommy Dimpoz na wengine