STAA wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul 'Diamond Platnumz' alizaliwa Octoba 2, 1989. Sherehe ya bethidei yake ilifanyika ukumbi wa Golden Jubilee usiku wa kuamkia leo na kuhudhuriwa na mastaa miongoni mwao ni T.I.D, Chidi Benz, Profesa Jay, B12, Elizabeth michael 'Lulu', Ommy Dimpoz na wengine
Friday, October 3, 2014
SHEREHE YA BETHIDEI YA DIAMOND PLATINUMZ GOLDEN JUBILEE, DAR
at
5:15 AM