Thursday, December 26, 2013

MAPENZI YA DIAMOND NA WEMA SEPETU SI KIFICHO TENA ....DIAMOND AMTANGAZA TENA WEMA KUWA NDIYE MCHUMBA WAKE



Diamond na Wema Sepetu hakuna ubishi ni wapenzi rasmi kama zamani na Peniel Mungilwa hana chake kutokana na ishara za wawili hao kuwa penzini waziwazi. Habari mpya ni kuwa show ya Diamond jana ilipambwa na Wema Sepetu jukwaani kwa kuimba pamoja huku watu wakifurahia wawili hao kuwa jukwaani wote. Angalia picha hapo chini ilivyokuwa kwa Wema na Diamond jana...........


Tukio hilo lilitokea  jana pale Leaders club kwenye show ya Diamond ambapo Wema Sepetu alipanda kwenye stage na kuongea na mashabiki waliofika kwenye show hiyo....
 
Kwenye hiyo show, Diamond aliuliza,”Mnataka kumjua mchumba wangu”? Show ilivyoendelea Diamond alitaka kuimba wimbo wa "ukimwona" akasema:
 “Nasikia ninayetaka kumuimbia wimbo huu yupo humuhumu ndani”.
 
Baada  ya  kauli  hiyo, Wema Sepetu alipanda kwenye stage kisha wakakumbatiana  na kucheza wote.
994992_654719497904805_1370630389_n
379719_654725334570888_100223854_n

1499625_654740321236056_1133727884_n
-