Duru zinaarufu kuwa huenda ni magaidi waliofanya kitendo hicho lakini polisi wangali kutoa taarifa rasmi......
TUKIO hilo la uvamizi limetokea huko Westlands Nairobi ambapo Watu waliojihami wameteka idadi ya watu wasiojulikana katika moja ya maduka makubwa mjini Nairobi leo.
Hatimaye Jeshi la kenya likaingilia kati
CHEKI VIDEO YA TUKIO HILO HAPA CHINI