Maelfu
ya mashabiki wa jiji la Mwanza waliojitokeza uwanja wa CCM Kirumba
kuwashuhudia wakali wa Muziki katika Kilimanjaro Music Tour
Rais wa masharobaro Bob Junior jukwaani na madansa wake
Ali Tall maarufu kama AT akiwaduarisha wakazi wa Mwanza katika jukwaa la Kikwetu kwetu
Mkali wa R&B Ben Pol akiwaimbisha mashabiki wake
Roma Mkatoliki alikuwa msanii wa kwanza wa Hip Hop kupanda jukwaani.
Lady Jaydee akiwasha moto katika jukwaa la Kili Music Tour huku akipewa kampani na Profesa Jay katika wimbo wa Joto Hasira
Mshindi wa tuzo 3 katika Kili Music Awards 2013 Kala Jemremiah akithibitisha ubora wake jukwaani.
Diamond Platnumz akiwapagawisha mashabiki wake
Mtoto wa nyumbani Fid Q "Ngosha akifunga show ya Kili Music Tour 2013 jijini Mwanza
Diamond Platnumz backstage
Lady Jaydee na Profesa Jay katika backstage baada ya kupiga show
Kala Jeremiah na Ben Pol