
Star huyo aliyejipatia umaarufu tangu akiwa mdogo aliongeza kwa kusema "lakini sasa sijajua wao wamepata hiyo habari kutoka kwenye chanzo gani, by the way kumekuwa na habari kila kukicha kila mtu anayejisikia kuandika anaandika, anaamka anaandika kwa hiyo leo wameandika nimechumbiwa kesho wataandika nimeolewa, kwa hiyo inategemea na mood ambayo wao waliamka nayo kwamba leo Lulu tumchumbie, tumuozeshe, tumuachishe i don't know"
Lulu Alimalizia kwa kusema "kuchumbiwa, kuolewa, kuwa mke ni vitu ambavyo tumeumbiwa binadamu, vipo kama ukiwa mpango wa mwenyezi Mungu nitachumbiwa na nitaolewa"
Lulu