Sunday, November 24, 2013

JANUARY MAKAMBA APEWA MAKAVU LIVE NA LADY JAY DEE SOMA ALICHOMWAMBIA....

Lady Jaydee aka Anaconda amemshukia January Makamba live mara baada ya mheshimwa huyo kuandika post inayo husu kupromte wamamuziki  na wasanii  wa Tanzania kupitia twitter yake.  Hebu cheki mambo yalivyo kuwa.