Mbunge wa Jimbo la Msalala, Ezekiel Maige (CCM)
anadaiwa kutoa rushwa ya Shilingi milioni 50 kwa lengo la kushawishi
madiwani wahamishe Makao Makuu ya Halmashauri ya Msalala katika Kata ya
Busangi kwenda Segese.
Kwamba, madai hayo yalibainishwa na Mwenyekiti wa Halmashauri ya Msalala, Mibako Mabubu wakati akiwajibu waandishi wa habari, kutokana na tuhuma za baadhi ya Madiwani wa Halmashauri ya Msalala kupewa rushwa: “Ninyi waandishi wa
Kwamba, madai hayo yalibainishwa na Mwenyekiti wa Halmashauri ya Msalala, Mibako Mabubu wakati akiwajibu waandishi wa habari, kutokana na tuhuma za baadhi ya Madiwani wa Halmashauri ya Msalala kupewa rushwa: “Ninyi waandishi wa
Maige alipotafutwa na waandishi wa habari kuzungumzia tuhuma hizo, alisema kuwa kata hizo zote zipo katika jimbo lake, kwani kufanya hivyo haoni mantiki yoyote kwa sababu maeneo yote ni yake. Maige akasema kuwa kuna baadhi ya Madiwani wamepanga kumchonganisha na wapigakura wake na kama yeye ametoa Sh milioni 50, basi ajitokeaze diwani athibitishe kama kweli amewapa