Kesi hiyo iliyokuwa ikiunguruma mahakama ya Kisutu Jijini Dar karibu miaka mine iliyopita mahakama hiyo kupitia hakimu wake Aloyce Katemana ilitoa hukumu hiyo baada ya kulidhishwa na ushahidi uliotolewa upande wa utetezi na Jamhuri. Waliopanda Desi nao waambiwa wanakesi ya kujibu.
Picha juu ni baadhi ya matukio yaliyojiri mahakamani hapo.