Wednesday, August 14, 2013

KUJINYONGA KWA MADAI YA UGUMU WA MAISHA NI SULUHISHO??

                                 mwili wa marehemu ukiwa unaning'inia baada kujinyonga



                                           Mke wa marehemu
Mwanaume mmoja ambaye jina lake, halikuweza kutambulika mara moja, mkazi wa Kigogo-Mbuyuni jijini Dar-es-Salaam asubuhi ya kuamkia mei 29 alijinyonga kwa madai ya ugumu wa maisha uliosababishwa na kukosa ajira.kwa msaada wa GPL