Cesc alikuwa uwanjani jana wakati Barca ilipocheza na Santos katika mchezo wa kirafiki ambapo mabingwa hao wa zamani wa ulaya walishinda kwa nane bila huku Cesc akifunga mawili. Manchester United walipeleka ofa mbili kwa ajili ya kiungo huyu ambapo ya kwanza ilikuwa paundi milioni 26 kabla ya kuja na ya pili ambayo iliongezeka na kufikia paundi milioni 31. United huenda wakarudi na ofa ya tatu ambayo itakuwa ya mwisho ambayo inaaminika kuwa itafikia paundi milioni 41.
Sunday, August 4, 2013
CESC FABREGAS APEWA RUKSA KWENDA TEAM YOYOTE...
at
12:34 AM
Cesc alikuwa uwanjani jana wakati Barca ilipocheza na Santos katika mchezo wa kirafiki ambapo mabingwa hao wa zamani wa ulaya walishinda kwa nane bila huku Cesc akifunga mawili. Manchester United walipeleka ofa mbili kwa ajili ya kiungo huyu ambapo ya kwanza ilikuwa paundi milioni 26 kabla ya kuja na ya pili ambayo iliongezeka na kufikia paundi milioni 31. United huenda wakarudi na ofa ya tatu ambayo itakuwa ya mwisho ambayo inaaminika kuwa itafikia paundi milioni 41.