![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjTKEhHhuaiLxq4JZhPUVojTGbZdBhN7sx3YJZ8HSDlzRi4P5al1fkDJdSn95ooP9CcdArupf5dzTDp_dR21pxVxMOV7Bhn40NMYlaQdR-HgbYAjoRF11Cl1Lbr5ZDODcPUUCV4KrXs7jJF/s1600/article-2386602-1B3265DC000005DC-111_634x404.jpg)
Ronaldo alifunga mabao mawili na kuiwezesha Real Madrid kuifunga 3-1 Chelsea katika Guinness International Champions Cup jijini Miami.
Baada ya goli lake la kwanza alilofunga kwa mkwaju wa faulo, hakushangilia bali aligeuka mbele ya jukwaa la mashabiki na kuonyesha kifua chake huku akitikisa kichwa.
Baada ya mchezo huo Ronaldo alizungumza na waandishi wa habari kuhusiana na maneno ya maneno Mourinho kwamba Ronaldo orijino ni yule wa Brazil - Cristiano alisema: "Napendelea kuzungumza kwa vitendo vyangu vya uwanjani na sio mara pengine popote"