Wednesday, July 24, 2013

MAAJABU:MNYAMA AINA YA KAKAKUONA AONEKANA MAENEO YA BUZA JIJINI DAR..!


Kakakuona akionyeshwa kwa watu walioingia chumbani alipohifadhiwa huko Buza jijini Dar.


Kakakuona akiwa eneo alipohifadhiwa.


Mmiliki wa nyumba alipohifadhiwa Kakakuona, Mweri Swaka akimswalia mnyama huyo.

Baadhi wa wananchi wakipozi na Kakakuona huyo.

Wananchi wakiingia mmojammoja chumbani kumuona mnyama huyo.

Wananchi wakionesha kukasirika baada ya kuzuiwa kuingia ndani kumuona kiumbe huyo.

Wananchi wakiwa nje ya nyumba alipo Kakakuona huyo.
KAKAKUONA mwingine ameonekana tena katika maeneo ya Buza jijini Dar es Salaam usiku wa kuamkia leo ikiwa ni mara ya pili kwa mwaka huu mnyama huyo kuonekana huku tukio la kwanza likianzia Kawe miezi kadhaa iliyopita na hatimaye tukio lingine kujitokeza.