Friday, July 19, 2013
BREAKING NEWS: KOCHA WA FC BARCELONA KUJIUZULU SAA CHACHE ZIJAZO
at
10:06 AM
Ttito Vilanova aligundulika kuwa na tatizo hilo miaka mitatu iliyopita ambapo alifanyiwa upasuaji na ilidhaniwa kuwa amepona kabisa kabla ya tatizo hilo kujitokeza tena kuelekea mwishoni mwa mwaka jana ambapo alilazimika kuiacha timu mikononi mwa kocha msaidizi Jordi Roura ambaye alichukua nafasi yake. Villanova alirejea mwezi januari na safari hii atalazimika kuachia ngazi kwa muda mrefu ili atibiwe