Monday, December 16, 2013

NA HIKI NDIYO KIASI ANACHOPATA KWA KILA MOVIE MOJA ... JACKLINE WOLPER..!!!






Inawezekana ukawa unajua but in real sense unahitaji kujua zaidi na Swahilitz ipo kukupa exclusive, mkali wa movie kwa sasa Jackline Wolper , mwanadada hustler aliyezaliwa tarehe 6 December huko mjini A- town, ni ukweli usiofichika kwamba Wolper ndio msanii bize wa kike mwenye kazi nyingi zaidi katika Bongo movie kwa mwaka huu.
Jacklin aliyewahi kwenda kwenye audition ya Planet bongo ya host Salama J hii inaweka wazi kama ni real hustler and that has no doubt kama hakuja Dar kupiga picture kwa bahati mbaya hakuweza kufanikiwa lakini hiyo haikumrudisha nyuma na ndio ilikuwa sababu ya yeye kujituma zaidi na zadi na hivi sasa Jackline Wolper ndio msanii busy wa kike kuliko wote East Afrika akiwa ameshafanya movie kumi na moja toka feb 22 mpaka oct 20 mwaka huu. Hicho ni kiwango kikubwa kuweza kufikiwa kwa wasanii wa kike hapa nchin ambao wanafanya vizuri with high pay.
Curently ukitaka kuongea deal na Wolper ujipange, kama Diamond alivyofika dau la Million kumi per show Jackline Wolper ameweza kufikia mpaka Million tano per movie