Saturday, November 2, 2013

HUYU NDO KIMWANA ANAYEMDATISHA KIUNGO WA ARSENAL "OZIL"....

Capristo akipozi kupigwa picha na Ozil ambaye alionekana kufurahia kufanya barabarani Jijni London.
KIUNGO Mesut Ozil amekuwa akiteka vichwa vya habari tangu atue Arsenal kwa dau la Pauni Milioni 42.5 kutoka Real Madrid, lakini anaonekana kuekwa akili mno na mpenzi wake, mlimbwende Mandy Capristo. Nyota huyo wa Ujerumani aliyeisaidia Arsenal kurejesha makali yake katika Ligi Kuu England tangu atue Emirates msimu huu, Capristo mwenye umri wa miaka 23, ni bonge la supa staa nchini kwao Ujerumani na kwa sasa ni msanii wa kujitegemea baada ya kujitoa katika bendi ya wasichana wenzake, Monrose, lakini Ozil hawezi kuimba mbele ya watu.
...Capristo akipozi kupigwa picha na Ozil.
 
...Ozil na Capristo wakirejea ndani baada ya kumaliza kupigana picha.
 Arsenal inamenyana na Liverpool Jumamosi ya leo ikiwa na kikosi chake kamili wakiwemo wapachika mabao hatari, Daniel Sturridge na Luis Suarez wamewasili Emirates.