Wednesday, October 2, 2013

UPDATES:ANGALIA JINSI VURUGU ZILIVYO KUWA MBEYA LEO HALI MBAYA INATISHA SANA






Polisi wakiwa katika ulinzi mkali 




Maduka yakiwa yamefungwa
 





Wafanya biashara wakiwa uwanjani kungoja kusikiliza nini hatma yao


Baadhi ya watu wakiwa wanakimbia Baada ya Mabomu ya machozi kuanza kurushwa kuepusha vurugu



Mawe yakiwa yamepangwa kuzuia magari yasiende kokote




Maduka yote yakiwa yamefungwa eneo la mwanjelwa kupinga ununuzi wa mashine hizo za TRA

Vijana hawa wakiwa wana nawa uso baada ya Bomu la machozi kuwapitia



Jiwe kubwa likiwa limewekwa katika Barabara magari yasipite





Hali tete Tayari vijana wameanza kuchoma mataili...