Rais
Jakaya Mrisho Kikwete akibofya kitufe huku wazee wa Njombe wakirusha
njiwa kuashiria kuzinduliwa rasmi mkoa wa Njombe leo Oktoba 18, 2013
katika Uwanja wa Sabasaba mjini Njombe. PICHA NA IKULU
Rais Jayaka Mrisho Kikwete akikagua sehemu mbalimbali za kiwanda cha chai cha
Ikanga wilaya ya Njombe baada ya kukifungua leo Oktoba 18, 2013 .

Rais Jayaka
Mrisho Kikwete aki furahi na mkurugenzi wa kampuni ya mufindi tea & coffee
limited ndg. Noel Lindsay Simth baada ya kufungua kiwanda cha chai cha Ikanga
wilaya ya Njombe baada ya kukifungua leo Oktoba 18, 2013
Rais Jayaka Mrisho Kikwete akihutubia mkutano wa
hadhara baada ya kufungua kiwanda cha
chai cha Ikanga wilaya ya Njombe baada ya kukifungua leo Oktoba 18, 2013.Picha na Ikulu