Thursday, October 10, 2013

AIBU:DIRECTOR BONGO MOVIE AFUMANIWA NA MSANII WAKE... AMUAHIDI KUMTOA KATIKA TASNIA YA FILAMU..



 Kijana mwenye mke aliyevaa tisheti nyekundu mara baada ya kuvamia chumbani na kumkuta mkewe akiliwa uroda na muongozaji filamu,msanii maarufu wa bongo movie aliyefahamika kwa jina la NICAS.
 Mume akionesha chupi ya mkewe

 Msanii chipukizi wa filamu ambae ni mke wa mtu aliyefahamika kwa jina la Remina Rufyagira" Mwimbe" akificha sura yake kukwepa kamera za mapapalazi.
NAUA: Kijana mwenye mke kushoto akimkaba koo director huyo kwenye purukushani ya fumanizi hilo.

 Hapa ofisa wa polisi ambae ilidaiwa toka kitio cha polisi Hananasifu kilichopo Kinondoni akimsimamia msanii huyo kuvaa nguo safari ya kuelekea kituoni.


 Mwimbe akiwa haamini kilichotokea huku machozi yakimtoka kwa wingi na kujuta.

 Kulia kijana ambae ilidaiwa ni shemeji na Mwimbe akimuuliza maswali shemejie huyo.
KAMA UNATAKA KUONA VIDEO YA MCHEZO MZIMA 
 

 NICAS na Mke huyo wa mtu wakielekea kituno huku nyuma wananchi walioshuhudia tukio hilo.

 Mwenye mke aliyefahamika kwa jina la Abdula Sanga akiongea na simu kuwajuza familia ya mchumbaake kuhusu tukio hilo.



CREDIT:XDEEJAYZ


 Mfuko wa kondom uliokutwa umetumiak