Saturday, September 28, 2013

RAIS KIKWETE AHUTUBIA UMOJA WA MATAIFA NEW YORK

1Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akihutubia kikao cha 68 cha Baraza kuu la Umoja wa Mataifa leo jijini New York Marekani.
2Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika picha ya pamoja  na Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban- Ki- Moon ofisini kwake.3Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akikutana na Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban- Ki- Moon ofisini kwake muda mfupi kabla ya kuhutubia kikao cha 68 cha Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa jijini New York Marekani leo mchana