Monday, September 23, 2013

HUYU NDIYE SIMBA ALIYE UWAWA BAADA YA KULA MBUZI ZAIDI YA 47 HUKO MOROGORO

Simba huyo ambaye amesumbua kwa muda mrefu Mkoani humo maaskari Wanyamapori Mkoani Morogoro wamemwinda na kumuua simba huyo aliyetafuna mbuzi 47 katika Mlima Uluguru eneo la kijiji cha Bagilo kata ya Kinole, Tarafa ya Mkuyuni Mkoani humo.
Askari wanyamapori Wakimchuna ngozi simba