Lori la Kampuni ya Ivory lililogongana uso kwa uso na Basi la Sai baba
Askari
wa usalama barabarani Iringa wakilitazama basi la kampuni ya Sai - baba
Express lenye namba za Usajili T 668 BCD ambalo liligongana uso kwa uso
na lori la kampuni ya Ivori lenye namba T 280 ADK eneo la Kibwabwa
katika barabara kuu ya Mbeya - Iringa jana na watu zaidi ya watatu
kujeruhiwa vibaya na wengine zaidi ya 50 ambao ni abiria wa basi hilo
kunusurika kifo