Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi,Phillipo Mulugo
Akizungumza mjini hapa, alisema yeye ni Makamu Mwenyekiti wa chakula na bwalo, hivyo akiwa kiongozi alikuwa anakabiliwa na changamoto za chakula kuwa kibovu na wenzake kugoma kula, hivyo kama wajibu wake aliandika taarifa, jambo lililomponza kuwa anajifanya mjuaji.
Alisema alimsindikiza mwanafunzi mwenzao hospitalini, (hakumtaja jina), baada ya kuumizwa mkono kwa kuchapwa viboko na mwalimu, jambo lililopelekwa k