Friday, August 2, 2013

TANZIA: MAMA MZAZI WA MSANII SHAA AFARIKI DUNIA


clip_image003Mwanadada SHAA ambaye anafanya Game ya Muziki wa Bongo Fleva, Amefiwa na mama mzazi.
 ESL Tunatoa pole sana kwa Kwa shaa pamoja na Familia yake pia Mungu ampe Nguvu katika kipindi hiki cha Msiba

Bwana ametoa na Bwana ametwaa