wale mnaojifanya mna hela kuweka instagram sasa muone hii my friend kuonyesha pesa sio ufahari eeeh |
![]() |
kudadadeki kitu cheupe mmekiona ze police ze mchina is kusakanyua |
![]() |
dadadeki usela ma.... wote mfukoni Ogaaaaa ze kuenda kukaa 70 years in prison hell no say no to drugs man kama movie vile |
![]() |
mapopo walivyovamiwa Dragon hotel kudadadeki ma police wengi nasikia walikuwa kama mia tano reporter kapiga nusu |
![]() |
dada yetu Jackie, amekwisha yeye si punda bali yamemkuta akiwa hotelini kwa baby wake wakafanya zoazoaaa na yeye akazolewa atiii poor her |
Team Nigerians girlfriends mpo @ mnajijuwa mnaoenda kulala nao mukienda China please alert waNigeria 200 wapo lockup na wengine 18 wamejitupa ktk ghorofa hii ni baada ya police in China kuvamia hotel moja ya kifahari inayoitwa Dragon,
wapenzi na duuuz in town wanaopenda wakina Ogaaaaz jamani jamani kama humpati mtu wako ktk simu hebu basi jiulize kunani watu mia mbili sio wadogo wajamenii, aiseeee wivu sina ila roho inaniuma wale waliojitupa wanahaki maana kunyogwa sio mchezo.
dada yetu Jackie alikuwa na bf wake ndo tushampoteza maana ze muchina doesnt ask unafanya nini ktk chumba cha mwanaume is kusaying lets go serooo mengine utajielezea na hivi no English inakuwa taab kwelilweli ze muchina no English sasa kujielezea mpaka akuelewe hauhusiki mamaa yake na mamaa.
poor her hana hata miezi sita China jamani wadadaaa wa mujini tamaa mbayaaa, kwa wale mnaomjua follow up ili mjue mtafanyaje of course tumempoteza ila nduguze juweni lini anashika kitanzii.
OOOh Lord have mercy on me sitaki kuwa natamaaa Shetanii toka, shindwa sitakii Tamaaa nakataa roho ya vishawishi.
somebody say Amen
shukrani kwa reporter wangu kutoka RPC umetishajeee, ukiona hizi pics somewhere just know katoa hapa tu
mad love kwa Team Sintah popote duniani ahsanteni sana kwa taarifa mbalimbali.
Posted by CEO Sintah (Unstoppable)