Thursday, August 29, 2013

ETOO SAINI MKATABA WA MWAKA MMOJA CHELSEA.

Mchezaji Samwel Eto'o amesaini mkataba wa mwaka mmoja kuichezea timu ya Chelsea na atakuepo uwanjani katika mechi kati ya Chelsea na  Bayen Munich katika mchezo wa Super cup Ijumaa.