Viongozi hao wamekamatwa kwa kosa kutofuata ratiba waliyopewa na polisi ambayo iliwataka waanze mkutano wao saa 7 lakin wao walianza 10:30 na pia kutoa maneno ambayo yaliashiria uvunjifu wa amani.
Wamekamatwa asubuh hii hotelini kwao IRINGA
Chanzo: ITV