Friday, August 16, 2013

ANGALIA PICHA KIBAKA ALIE NUSURIKA KIFO BAADA YAKUWA AKIIBA KWENYE AJALI ENEO LA SABENA ARUSHA

Huyu ndiye kibaka aliye nusurika kifo akiwa mikononi mwa wananchi wenye hasira kali 
kweli kibaka ukimpa upenyo anachomoka kama upepo kibaka alipata upenyo alichomoka vibaya sana
cheki kakoti ka bluu kanapepea watu walibakia tuu huyoo huyoo
mhanga wa ajali akitolewa eneo la tukio
wananchi wa Arusha wakitoa msaada kwa mhanga wa ajali
huyu ndie mhanga wa ajali hiyo
hiindio toyo iliyo sababisha ajali hiyo
hii ndio gari iliyokuwa imkoseshe maisha muhanga wa ajali hiyo
hapa ni baada ya trafk kufika eneo la tukio NA LINDE BLOG