Aidha taarifa za ndani za chama kutolewa nje kwa maadui wa CHADEMA kisiasa nyingi zinatolewa na viongozi na wanachama wasio waaminifu.
Hayo aliyasema wakati wa Mkutano na wanachama wa chama hicho uliofanyika Juni 19, 2013 kwenye Viwanja vya mashujaa maarufu kwa jina la Mayunga mjini Bukoba.
Aidha, Lwakatare aliwaambia wananchi waliokusanyika katika viwanja hivyo vya mashujaa kuwa nafasi yake na Ukurugenzi wa Ulinzi na Usalama inamsaidia kuwagundua maadui wake
Hayo aliyasema wakati wa Mkutano na wanachama wa chama hicho uliofanyika Juni 19, 2013 kwenye Viwanja vya mashujaa maarufu kwa jina la Mayunga mjini Bukoba.
Aidha, Lwakatare aliwaambia wananchi waliokusanyika katika viwanja hivyo vya mashujaa kuwa nafasi yake na Ukurugenzi wa Ulinzi na Usalama inamsaidia kuwagundua maadui wake